Breaking News

Your Ad Spot

Feb 12, 2016

WAZIRI NCHEMBA ATIMUA UONGOZI SAA 7 USIKU MACHINJIONI DAR (+PICHAZ)

Yatosha

NCHMBA MACHINJIO DAR 2Waziri wa Kilimo na Mifugo Mwigulu Nchemba amefanya ziara ya Kushtukiza saa saba usiku wa kuamikia leo katika Machinjio ya Ukonga Mazizi.

Katika ziara hiyo, Waziri Nchemba  amekamata ng’ombe 200 wakiwa wanaingizwa kwenye machinjio bila kibali halali, na kati yao ni ng’ombe 20 tu ndo walikuwa na kibali cha kuchinjwa, hivyo ushuru  wa ng’ombe 180  ulikuwa  unatafunwa  na  watumishi  waovu.

Baada  ya  kubaini  hali  hiyo,Waziri Nchemba ameufukuza  uongozi wote  wa  machinjio  hayo  na  kuagiza  vyombo  vya  dola  viwakamate  viongozi  wote waliohusika  na  kuwafikisha  mahakamani.

NCHEMBA MACHJINJIO DAR 5 NCHEMBA MACHINJIO DAR 4 NCHEMBA MACHINJIO DAR 3

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages