Breaking News

Your Ad Spot

Feb 11, 2016

NAIBU WAZIRI WA FEDHA NA UCHUMI DKT. ASHATU, AFUNGUA MKUTANO WA MWAKA WA PPF


Naibu waziri wa fedha na uchumi,  Dkt. Ashatu Kijaji, akitoa hotuba ya ufunguzi wa mkutano mkuu wa mwaka wa 25 wa wanachama na wadau wa PPF, kwenye ukumbi wa kituo cha mikutano cha kimataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, Februari 11, 2016. Mkutano huo wa siku mbili unakwenda kwa kauli mbiu ya “Uendelezaji wa sekta ya hifadhi ya jamii; umuhimu wa kuzingatia mabadiliko”. (Picha na K-VIS MEDIA/Khalfan Said)



Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya Mfuko wa Pensheni wa PPF, Ramadhan Khijah, akitoa hotuba yake


Mkurugenzi Mkuu wa PPF, William Erio akitoa taarifa na mrejesho wa mkutano mkuu wa 24 wa wanachama na wadau


Wajumbe wakisoma majarida yenye maelezo ya kina ya Mfuko wa Pensheni wa PPF, wakati wa mkutano wa mwaka wa 25 wa wanachama na wadau  ulioanza Februari 11, 2016 kwenye ukumbi wa kituo cha mikutano cha kimataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es Salaam
Dkt. Bakari Kaoneka, mwanachama wa PPF, akitoa ushuhuda wa namna anavyofaidika
 Shuhuda Angella Mgullu, akitoa ushuhuda kutokana na faida mbalimbali anazopata kwa kuwa mwanachama wa PPF
 Mwendesha Bodaboda, Lazaro Mussa, naye ni miongoni mwa mashuhuda walioueleza mkutano huo manufaa ya kuwa mwanachama wa PPF

 Dkt. Kijaji akitoa hotuba
 Washiriki wa mkutano wakifuatilia kilichokuwa kikiendelea
 Washiriki wakitazama kalenda ya PPF ya mwaka 2016
 Mzee Baraza, mjumbe wa bodi ya wadhamini ya PPF, akinakili mambo muhimu
 Mkurugenzi wa fedha wa PPF, Martin Mmari, (Kushoto), akizungumza jambo na moja wa waalikwa kwenye mkutano huo

 Mkurugenzi Mkuu Mstaafu wa PPF, Bw. Mataka
 Baadhi ya wajumbe wa bodi ya wadhamini ya PPF
 Wajumbe wa bodi ya wadhamini ya PPF
 Wakurugenzi wakibadilishana mawazo
 Bw. Mbarouk, (kushoto) na Lulu Mengele, wakifuatilia hotuba
Afisa Uhusiano Jannet Ezekiel, akizunhumza na mmoja wa wanachama wa PPF
 Wajumbe wakiwa kwenye ukumbi wa kituo cha mikutano cha kimataifa cha Julius Nyerere
Mkurugenzi wa uandikishaji na matekelezo(compliance and Registration) wa Mamlaka ya Usimamizi wa Mifuko ya hifadhi ya jamii, SSRA, Lightness Mauki, ambaye alimwakilisha Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka hiyo, akitoa mada

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages