Breaking News

Your Ad Spot

Feb 3, 2016

MFADHILI WA COASTAL UNION AWAJAZA MAPESA BAADA YA KUIFUNGA YANGA MABAO 2-0.

1
Makamu Mwenyekiti wa Klabu ya Coastal Union,Salim Amiri akimkabidhi fedha kiasi cha milioni mbili (2000,000) Nahodha wa timu hiyo,Hamis Mbwana “Kibacha” zilizotolewa na Mfadhili wa timu hiyo,Alhaji Salim Bajaber ambaye ni mkurugenzi wa kiwanda cha Unga cha Pembe Tanga wanaoshuhudia ni viongozi wa timu hiyo makabidhiano hayo yalifanyika viwanja vya shule ya sekondari Popatlaly mara baada ya kumalizika mazoezi ya jana jioni.
2
Nahodha wa timu ya Coastal Union, Hamis Mbwana“Kibacha” akionyesha juu fedha alizizokabidhiwa milioni mbili (2000, 000) kama motisha baada ya kuifunga timu ya Yanga zilizotolewa na Mfadhili wa timu hiyo,Alhaji Salim Bajaber ambaye ni mkurugenzi wa kiwanda cha Unga cha Pembe Tanga wanaoshuhudia ni viongozi wa timu hiyo makabidhiano hayo yalifanyika viwanja vya shule ya sekondari Popatlaly mara baada ya kumalizika mazoezi ya jana jioni.
3
Makamu Mwenyekiti wa Klabu ya Coastal Union, Salim Amiri akitoa nasaha kwa wachezaji wa timu hiyo kuhakikisha wanafanya vizuri kwenye michezo yao inayofuata ili waweze kumaliza Ligi kuu wakiwa nafasi za juu mara baada ya kupokea kitita cha sh.2000, 000 kama motisha baada ya kuifunga timu ya Yanga zilizotolewa na Mfadhili wa timu hiyo,Alhaji Salim Bajaber ambaye ni mkurugenzi wa kiwanda cha Unga cha Pembe Tanga wanaoshuhudia ni viongozi wa timu hiyo makabidhiano hayo yalifanyika viwanja vya shule ya sekondari Popatlaly mara baada ya kumalizika mazoezi ya jana jioni kulia ni Kaimu Katibu Mkuu wa timu hiyo, Salim Bawaziri na wa kwanza kushoto ni Kocha Mkuu wa timu Ally Jangalu na wajumbe wa kamati ya utendaji wa timu hiyo.
5
Kaimu Katibu Mkuu wa timu ya Coastal Union,Salim Bawaziri akitoa nasaha zake kwa wachezaji mara baada ya kukabidhiwa fesha kiasi cha milioni mbili (2000,000) (2000, 000)kama motisha baada ya kuifunga timu ya Yanga zilizotolewa na Mfadhili wa timu hiyo,Alhaji Salim Bajaber ambaye ni mkurugenzi wa kiwanda cha Unga cha Pembe Tanga wanaoshuhudia ni viongozi wa timu hiyo makabidhiano hayo yalifanyika viwanja vya shule ya sekondari Popatlaly mara baada ya kumalizika mazoezi ya jana jioni
Picha zote na Kitengo cha Mawasiliano Coastal Union

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages