Mchekeshaji maarufu wa Orijino Comedy Silvester Mjuni alimaarufu kama MPOKI, amejiunga
na team ya EFM Radio na kuwa mmoja wa watangazaji wa kipindi cha UBAONI
kinachoongozwa na Gardner G. Habash kwa kushirikiana na bikira wa
kisukuma (Seth) kinacho kuwa hewani kila siku kuanzia saa 9:00 alasiri
hadi saa 1:00 jioni. Kushoto ni Mkurugenzi wa Efm Radio Francis Ciza akimkaribisha, Mpoki kuungana na team ya EFM Radio.
Your Ad Spot
Feb 12, 2016
Home
Unlabelled
MCHEKESHAJI WA ORIGINO COMEDY, MPOKI AJIUNGA NA TIMU YA EFM RADIO.
MCHEKESHAJI WA ORIGINO COMEDY, MPOKI AJIUNGA NA TIMU YA EFM RADIO.
Share This
About khamisimussa77@gmail.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269