Kamanda
wa Vijana Mkoa wa Dar es es Salaam (UVCCM), Abbas Mtemvu akisalimiana
na Mmoja wa wafuasi walio fika Mahakamani (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
Kamanda
wa Vijana Mkoa wa Dar es es Salaam (UVCCM), Abbas Mtemvu (kulia)
alipokuwa na wafuasi wakishuka ngazi mara baada ya Mahakama Kuu ya Dar
es Salaam kuahirisha Shauri hilo la kupinga matokeo ya uchaguzi wa Jimbo
la Temeke hadi 26 Februari mwaka huu, ambapo Maulidi Mtolea (CUF)
alishinda.
Kamanda
wa Vijana Mkoa wa Dar es es Salaam (UVCCM), Abbas Mtemvu (wa pili
kulia) akizungumza jambo na wafuasi wa Chama cha Mapinduzi (CCM),
Mahakama Kuu Dr es Salaam , baada ya kuahirishwa shauri lake la kupinga
matokeo ya uchaguzi wa Jimbo la Temeke ambao Maulidi Mtolea (CUF)
alishinda.
Kamanda
wa Vijana Mkoa wa Dar es es Salaam (UVCCM), Abbas Mtemvu (kulia)
alisalimiana na aliyekuwa Diwani wa Kata ya Azimio, Hamisi Mzuzuri mara
baada ya kuahirishwa shauri hilo hadi 26 Februari mwaka huu
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269