Breaking News

Your Ad Spot

Feb 5, 2016

JK AZUNGUMZA NA WAZEE MKOANI SINGIDA, AWATAKA KUMUUNGA MKONO DK. RAIS MAFUGULI

 Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akikaribishwa baada ya kuwasili Ofisi ya CCM mkoa wa Singida leo, kaba ya kukutana na kuzungumza na wazee wa Singida Mjini. Kulia ni Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye.
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akisuniri kuvalishwa skafu baada ya kuwasili Ofisi ya CCM mkoa wa Singida leo. Kushoto ni Mama Salma Kikwete. na Kulia ni Kaimu Katibu wa CCM mkoa wa Singida Mary Maziku na Katibu wa NEC Itukadi na Uenezi, Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye.
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Kikwete akipokea salama za Chipukizi wa CCM
 Chipukizi wakieda kumvalisha skafu Mweyekiti wa CCM Kikwete
 Chipukizi wakimvalisha Skafu Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete. Kulia ni Nape
 Kijana wa Chipukuizi akionyesha ukakamavu wake baada ya kumkaribisha Singida, Mwenyekiti wa CCM Jakaya Kikwete
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akienda katika Ofisi ya CCM mkoa wa Singida, akiwa na Mkewe Mama Salma Kikwete, Nape na Mary Maziku
 Kikwete akiwasalimia wananchi waliokuwepo nje ya Ofisi ya CCM mkoa wa Singida
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete na Mama Salma Kikwete wakipanda ngazi kuingia Ofisi ya Mwenyekiti wa CCM mkoawa Singida
 Jk akiigia ukumbini
 Jk akisaaini vitabu vya  wageni
 Mama Salma Kikwete akisaini vitabu vya wageni
 Msaidizi Maalum wa Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete katika masuala ya siasa, Martine Shigella akiwa na Mjumbe wa NEC wa Singida Mjini Mazala
 Jk akimsalimia Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Maadhimisho ya Miaka 39 ya CCM kimkoa wa Singida Martha Mlata
 Jk akizungumza na baadhi ya viongozi waliomkaribisha Ofisi ya CCM mkoa wa Singida baada ya kusaini vitabu
 Kina mama wakitumbuiza kwa ngoma kumlaki Kikwete Ofisi ya CCM mkoa wa Singida
 JK akitoka ndani ya ofisi ya CCM
 JK akisalimiana na baadhi ya wananchi waliokuwa nje ya Ofisi ya CCM mkoa wa Singida
 Jk akiwasalimia wauza dawa za tiba za asili nje ya ofisi ya CCM mkoa wa Singida
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Kikwete akionyesha jengo lililokuwa Ofisi ya TANU mkoa wa Singida miaka ya 75 akiwa katibu msaidizi wa TANU wa wilaya



 Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akipiga picha na mke wake Mama Salma Kikwete, leo, mbele ya nyumba ambamoishi  mjii Singida mwaka 1975, wakati huo akiwa katibu Msaidizi wa  TANU  wilaya ya Singida mjini. Kikwete yupo mkoani Singida kwa ajili ya kuongoza Maadhimisho ya Miaka 39 ya CCM, abayo kilele chake kitaifa ni kesho
















No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages