Mwenyekiti wa
CCM, Rais Mstaafu, Jakya Kikwete na Rais John Magufuli wakiwa wamekalia moja
kati ya madawati 1,000 yaliyotolewa na CCM mkoa wa Singida ili yagawiwe kwa shule
za mkoa huo ikiwa ni moja ya hatua za kutatua tatizo la madawati nchini.
Walikuwa katika sherehe za miaka 39 ya CCM kwenye uwanja wa Namfua mjini
Singida Februari 6,2016. Watatu kushoto ni Makamu wa Rais, Samia Suluhu na
kulia ni Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Mwenyekiti wa CCM, Rais
Mstaafu Jakaya Kikwete akizungumza katika sherehe za miaka 39 ya CC kwenye
uwanja wa Namfua mjini Singida Februari 6, 2016
Katibu Mkuu wa CCM
Abdulrahman Kinana akizungumza katika sherehe za miaka 39, ya CCM kwenye uwanja
wa Namfua mjini Singida Februari 6, 2016
Rais Magufuli
akizungumza katika sherehe za miaka 39 ya CCM kwenye uwanja wa Namfua mjini
Singida Februari 6, 2016.
Rais Magufuli
akisalimiana na Katibu Mwenezi wa CCM,Nape Nnauye na Katibu Mkuu wa CCM,
Abdulrahman Kinana (katikati) mara alipowasili kwenye uwanja wa Namfua mjini
Singida kuhudhuria sherehe za miaka 39 ya CCM Februari 6, 2016
Mwenyekiti wa CCM, Jakaya Kikwete, (kushoto), akipokewa na Nape, na katibu mkuu wa CCM Kinana
Rais Magufuli
akimpongeza Mbunge wa zamani wa Viti Maalum kwa tiketi ya CHADEMA, Rachel
Mashishanga ambaye alirejea CCM katika sherehe za Miaka 39 ya CCM kwenye uwanja
wa Namfua mjini Singida Februari 6, 2016
Rais Magufuli
akimpongeza Mbunge wa zamani wa Viti Maalum CHADEMA , Cristawaja Mtinda
ambaye alitangaza kurejea CCM katika sherehe za miaka 39 ya CCM kwenye uwanja
wa Namfua mjini Singida Februari 6, 2016
Wasanii wa bongo movie nao walikuwepo
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269