Ajali
mbaya ya barabarani imetokea mkoani Tanga asubuhi hii wakati Basi la
Kampuni ya Simba Mtoto ya Tanga lilipogongana na Lori uso kwa uso katika
eneo la Pangamlima Wilayani Korogwe mkoani humo,taarifa za awali kutoka
eneo la tukieo zinaeleza kuwa watu 10 wanahofiwa kupoteza maisha na
wengine kujeruhiwa vibaya atika ajali hiyo.
Your Ad Spot
Feb 11, 2016
Home
Unlabelled
BASI LA SIMBA MTOTO LAGONGANA NA LORI WILAYANI KOROGWE MKOANI TANGA
BASI LA SIMBA MTOTO LAGONGANA NA LORI WILAYANI KOROGWE MKOANI TANGA
Share This
About khamisimussa77@gmail.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269