Breaking News

Your Ad Spot

Nov 24, 2015

TUJIKUMBUSHE ZIARA YA KATIBU MKUU KIONGOZI BALOZI OMBENI SEFUE KATIKA KUTIMIZA AGIZO LA RAIS MAGUFULI

  Katibu Mkuu Kiongozi Balozi  Ombeni Sefue (katikati), akifafanua jambo  baada ya kutembelea hospitali hiyo Dar es Salaam, katika ziara ya siku moja ya kukagua huduma mbalimbali zinazotolewa kwenye hospitali hiyo pamoja na vifaa tiba, ambapo alitoa siku tatu kukamilika kwa matengenezo ya mashine ya  ultrasound. kushoto ni Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Donan Mmbando na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Profesa Lawrence Museru.  (PICHA NA KHAMISI MUSSA) 
  Katibu Mkuu Kiongozi Balozi  Ombeni Sefue (kulia), akifafanua jambo  baada ya kutembelea hospitali hiyo Dar es Salaam, katika ziara ya siku moja ya kukagua huduma mbalimbali zinazotolewa kwenye hospitali hiyo pamoja na vifaa tiba, ambapo alitoa siku tatu kukamilika kwa matengenezo ya mashine ya  ultrasound. katikati ni Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Donan Mmbando na Kaimu  Mkurugenzi wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa ,Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI)  Dk,  Othman  Kiloloma
 Wanahabari kila mmoja na engo yake kuhakikisha kila mmoja anaondoka na kichwa cha habari

 Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Profesa Lawrence Museru (kulia) akiweka kumbukumbu zake vizuri wakati Katibu Mkuu Kiongozi Balozi  Ombeni Sefue (wa pilikulia),  kutembelea hospitali hiyo Dar es Salaam, katika ziara ya siku moja ya kukagua huduma mbalimbali zinazotolewa kwenye hospitali hiyo pamoja na vifaa tiba, ambapo alitoa siku tatu kukamilika kwa matengenezo ya mashine ya  ultrasound. watatu kulia  ni Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Donan Mmbando na wanne kulia ni Kaimu  Mkurugenzi wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa ,Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI)  Dk,  Othman  Kiloloma
 Mkurugenzi wa MSD Laurean Bwanakuru (kulia) akimsikiliza kwa makini  Katibu Mkuu Kiongozi Balozi  Ombeni Sefue, mara ya  baada ya kutembelea hospitali ya Taifa ya  Muhimbili na Taasisi ya Tiba ya Mifupa ,Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI) Dar es Salaam, katika ziara ya siku moja ya kukagua huduma mbalimbali zinazotolewa kwenye hospitali hiyo pamoja na Taasisi ya Mifupa, wapili kulia ni Profesa Muhammad Bakari, anaye fatia kushoto ni  Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Profesa Lawrence Museru na anaye fatia kushoto ni Katibu Mkuu Kiongozi Balozi  Ombeni Sefue







 Mtaalamu wa kutengeneza mashine za kutoa huduma za vipimo katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wa Kampuni ya Philips, Kevin Omollo (kushoto) akitoa maelezo kwa Katibu Mkuu Kiongozi Balozi  Ombeni Sefue, baada ya kutembelea hospitali hiyo Dar es Salaam, katika ziara ya siku moja ya kukagua huduma mbalimbali zinazotolewa kwenye hospitali hiyo pamoja na vifaa tiba, ambapo alitoa siku tatu kukamilika kwa matengenezo ya mashine ya  ultrasound. Kulia ni Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Donan Mmbando.
























No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages