Usiku wa November 20 2015 ulimwengu wa urembo Tanzania umeandika historia nyingine kubwa na nzuri ambapo mrembo mmoja aliibuka na ushindi wa taji la Miss Universe 2015 !! anahesabu siku chache tu kugusa stage ya Miss Universe duniani !
List ya warembo waliogusa TOP 3 ya Miss Universe 2015 ilikuwa hivi:
Washindi wenyewe kwenye ubora wao,
Lilian Loth (mshindi wa pili kushoto), Lorraine Marriott (mshindi wa
kwanza katikati) na Willice Donald (mshindi wa tatu kulia)
Hapa ninazo picha kuanzia red carpet mpaka mwisho alivyopatikana mshindi.
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269