Aliyekuwa
Mbunge wa Jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu akizungumza na waandishi wa
habari, Dar es Salaam (pichani hawapo) mambo mbalimbali ya mchakato wa
uchaguzi wa Madiwani, Ubunge na urais wa 2015, na likiwemo na kufungua
kesi mahakamani juzi dhidi ya mbunge wa sasa wa Temeke
Aliyekuwa
Mbunge wa Jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu akizungumza na waandishi wa
habari, Dar es Salaam (pichani hawapo) mambo mbalimbali ya mchakato wa
uchaguzi wa Madiwani, Ubunge na urais wa 2015, na likiwemo na kufungua
kesi mahakamani juzi dhidi ya mbunge wa sasa wa Temeke, kushoto ni Katibu wa Jimbo la Temeke Kassim Kiame na kulia ni Mwenyekiti wa Jimbo la Temeke Ahmad Mnamala (PICHA NA KHAMISI MUSSA)
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269