Breaking News

Your Ad Spot

Aug 23, 2015

USAIN BOLT BINGWA WA DUNIA WA MBIO ZA MITA 100

Bingwa wa dunia wa mbio za matimko za mita 100,Usain Bolt wa Jamaica, amewapiku wapinzani wake na kuhifadhi taji la dunia mbele ya umati mkubwa uliojitokeza kushuhudia fainali hiyo katika uwanja wa kimataifa Birds Nest Beijing China

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages