Breaking News

Your Ad Spot

Aug 20, 2015

NYALANDU ACHUKUA FOMU ZA TUME YA UCHAGUZI (NEC) KUGOMBEA UBUNGE SINGIDA KASKAZINI

 WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akichukua fomu za kuwania ubunge katika Jimbo la Singida Kaskazini kwa Msimamizi wa Uchaguzi wa Wilaya ya Singida, Faridda Mwasumilwe katika Ofisi za Halmashauri ya wilaya hiyo, juzi.
 WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, ambaye pia ni mgombea ubunge wa Jimbo la Singida Kaskazini, akipokewa kwa shangwe na wananchi wa Kata ya Kinyagigi katika Jimbo la Singida Kaskazini wakati alipokwenda kuzungumza nao, muda mfupi baada ya kukabidhiwa fomu na Msimamizi wa Uchaguzi Wilaya ya Singida
 WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, ambaye pia ni mgombea ubunge wa Jimbo la Singida Kaskazini, akicheza na makada wenzake wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Kijiji cha Kinyagigi muda mfupi baada ya kuchukua fomu na Msimamizi wa Uchaguzi Wilaya ya Singida.
 WANANCHI wa Kijiji cha Kinyagigi katika Jimbo la Singida Kaskazini, wakimsikiliza Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, alipowahutubia kwenye mkutano wa hadhara muda mfupi baada ya kuchukua fomu na Msimamizi wa Uchaguzi Wilaya ya Singida.
 WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu (katikati), ambaye pia ni mgombea ubunge wa Jimbo la Singida Kaskazini, akiwa na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Singida, muda mfupi baada ya kuchukua fomu kwa Msimamizi wa Uchaguzi.
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, ambaye pia ni mgombea ubunge wa Jimbo la Singida Kaskazini, akiwahutubia wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Kijiji cha Kinyagigi, jimboni humo juzi.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages