Breaking News

Your Ad Spot

Aug 13, 2015

MMILIKI WA UJIJIRAHAA BLOG SAFARINI BUKOBA KUELEKEA KATAA YA RULANDA MKOA WA KAGERA

 Wananchi wa Kijiji cha Kagoma Wilayani Muleba wakijipatia mahitaji mbalimbali katika Soko lao
Mungu ndiye Muweza mpaka kufika hapa si Elimu, nikitokea Bukoba Mjini na nikiwa nimeshuka hapa Muleba niweze fika  Kataa ya Rulanda Mkoa wa Kagera  nisafiri kwa Basi la  Princess Muro
 Abiria wakiwa amejifunga mkanda kwa ajili ya Usalama katika Basi la Princess Muro
 Nikiwa katika Kijiji cha Nyabule Mkoani Kagera Wilaya ya Muleba,  Nikiwa nimekalia nyasi na nikizitazama kwa kuzingatia asili ya  watu wa Bukoba kwa kudumisha mila.
 Baada ya kushuka Muleba natafuta Usafiri mwingine  kwenda Rulanda Mkoani Kagera
  Muleba natafuta Usafiri mwingine kwenda  Rulanda Mkoani Kagera
 Kijiji cha Rulanda Mkoani Kagera nijaribu kusikia uzito wa mkungu wa ndizi ambapo wakiuza mkungu mmoja Sh. elfu 6 hadi elfu 5
 Nyegera turye Ebitoke ne empelege.
Asili ni kwa chakula hiki kwa mzaliwa wa Bukoba.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages