Breaking News

Your Ad Spot

Aug 18, 2015

EWURA FAMILY DAY ILIVYOFANA DAR


 Watoto wa familia za wafanyakazi wa wakishindana kukimbiaMamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), wakati wa hafla ya wafanyakazi wa Ewura kufurahi pamoja na familia zao (Ewura Family Day) kwenye Hoteli ya Kunduchi Beach, Dar es Salaam

 Wafanyakazi wa Ewura wakiwa katika picha ya pamoja na familia zao

 Wakiwa katika mchezo wa Wavu

 Wakishindana kukimbia huku wakiwa kwenye magunia

 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), Felix Ngamlagosi (kulia) akishiriki na wakurugenzi wenzie kushindana kuvuta kamba na wafanyakazi wa Ewura wakati wa siku ya wafanyakazi wa Ewura kufurahi na familia zao kwenye Hoteli ya Kunduchi Beach, Dar es Salaam juzi

 Wafanyakazi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), wakishindana katika mchezo wa kuvuta kamba wakati wa siku ya kufurahi na familia zao kwenye Hoteli ya Kunduchi Beach, Dar es Salaam

 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), Felix Ngamlagosi (wa tatu kushoto) akishiriki kucheza mpira wakati wa hafla ya wafanyakazi wa Ewura kufurahi pamoja na familia zao kwenye Hoteli ya Kunduchi Beach, Dar es Salaam

 Waliovaa fulana za bluu wakishindana soka na waliovaa njano



 Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa Ewura, Titus Kaguo (kulia) akishiriki na wenzie katika shindano la kukimbiza kuku

 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), Felix Ngamlagosi akifurahia zawadi ya kuku aliyemkamata katika shindano la kufukuza kuku wakati wa siku ya wafanyakazi wa Ewura kufurahi na familia zao kwenye Hoteli ya Kunduchi Beach, Dar es Salaam juzi.





 Mwanafunzi Charles Daud ambaye ni mmoja wa watoto wa wafanyakazi wa Ewura akishangilia baada ya kushinda shindano la kufukuza kuku

 Mkurugenzi Mkuu wa Ewura, Ngamlagosi akikabidhi kikombe kwa mmoja wa washindi wa michezo iliyofanyika siku hiyo

 Mkurugenzi Mkuu wa Ewura, Ngamlagosi (kulia) akipokea kikombe kwa niaba ya wakurugenzi walioshinda katika mchezo wa kuvuta kamba

 Ngamlagosi akifurahia zawadi hiyo

 Mkurugenzi Mkuu wa Ewura, Ngamlagosi akikabidhi zawadi ya kikombe kwa nahodha wa timu ya ilivaa fulana ya njano  iliyoishinda  ya bluu katika shindano la kuvuta kamba

 Wafanyakazi na familia zao waliovaa fulana ya njano wakishangilia baada ya kukabidhiwa kikombe hicho

 Mfanyakazi wa Ewura Rachel Kiula akifurahia kupata zawadi ya kikombe aliyopata baada ya mfanyakazi pekee aliyeshiriki katika michezo mingi iliyochezwa siku hiyo.

 Baadhi ya washindi wa michezo mbalimbali wakishangilia huku wakiwa na zawadi zao



 Sasa ni wakati wa msosi





 Kijana mchekeshaji Comedian akiwa kazini baada ya watu kupata msosi

 Sasa ni wakati wa watoto kufurahi





 Wafanyakazi wa Ewura na familia zao wakipata ushauri nasaha kuhusu masuala ya kulinda  afya zao

Wafanyakazi wa Ewura na familia zao wakiwa katika picha ya pamoja

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages