Kiungo
mshambuliaji wa Yanga, Mbrazil, Andrey Coutinho akishuka kwenye basi la
Yanga muda mfupi uliopita tayari kwa mechi ya saa 10:00 dhidi ya KMKM
ya Zanzibar
Nahodha
wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ (mbele) na Haruna Niyonzima (nyuma
yake) wakielekea vyumba vya kubadilishia nguo tayari kwa kipute cha
Kombe la Kagame dhidi ya KMKM
Joseph Zuttah kushoto anaanzia benchi leo
Kocha
msaidizi wa Yanga na kocha mkuu wa Taifa Stars, Charles Mkwasa atakuwa
kwenye benchi la ufundi akimsaidia mkuu wake, Mholanzi, Hans van der
Pluijm.
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269