Kazi ya kuandikisha wananchi kwenye daftari la kudumu la wapigakura inaanza leo katika mkoa wa Dar es Salaam, ewe mwananchi hii ni fursa yako ili uweze kupata haki ya kuwa mpigakura katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu wa 2015. Uandikishaji huu ni katika mfumo unaoelezwa kuwa ni wa kisasa wa BVR.
Your Ad Spot
Jul 22, 2015
Home
Unlabelled
UANDIKISHAJI BVR KUANZA LEO DAR ES SALAAM
UANDIKISHAJI BVR KUANZA LEO DAR ES SALAAM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269