Breaking News

Your Ad Spot

Jul 11, 2015

MTOTO TABIA MKULUKUTE APOTEZA MAISHA BAADA YA KUGONGWA NA GARI NA KUZIKWA LEO BUNJU 'A'

 Mtoto Tabia ambaye aliyegongwa na gari Pichani mwenye gauni la njano, enzi ya uhai wake
  Gari la  Ofisa Mtendaji Mtaa wa Bunju 'B' Abdillah Mkeyenge lilivyo haribiwa
 Ofisa Mtendaji Mtaa wa Bunju 'B' Abdillah Mkeyenge  akizungumza na wanahabari mkasa ulivyo tokea kama alivyoona
 Maeneo ya jirani ya kituo hicho taswira ilivyokuwa ikionekana
 Wananchi wakiwa ng'ambo ya Barabara wakiangalia jinsi kituo kilivyo chomwa moto
 Mwana habari Jamaly Hashimu wa kituo cha TBC akipata taarifa akiwa katika chumba cha Polisi kilicho chomwa moto na  wananchi
 Nyaraka zilizoungua
 Baadhi ya baiskeli zilizoungua
 Omary Mbonde (katikati) ambaye ni mlezi wa mtoto Tabia Mkulukute, akizungumza na wana familia walipokuwa wakipanga taratibu za mazishi yanayotarajiwa kufanyika kesho.Mtoto huyo alikuwa akisoma Darasa la 4A Shule ya Msingi Bunju 'A'.Baada ya kutokea ajali hiyo wananchi na wanafunzi walijawa na hasira na kufanya vurugu huku wengine wakilala barabarani na kuchoma kituo cha Polisi moto.Tabia Mkulukute aliyefariki dunia baada ya kugongwa na gari eneo Bunju, Dar es Salaam
 Mama mlezi Zainabu Mkulukute katikati akiwa na waombolezaji wakimfariji

 Muonekano wa kituo cha Polisi  kilivyo chomwa moto
PICHA ZOTE  NA KHAMISI MUSSA 

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages