Mgombea
nafasi ya Ubunge Jimbo la Mbagala kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM)
Peter Nyalali akizungumza na waandishi wa habari baada ya kurudisha
fomu
Mgombea
nafasi ya Ubunge Jimbo la Temeke kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM)
Peter Nyalali (kushoto), akirudisha Fomu katika Ofisi za Chama hicho
kwa Katibu wa Umoja wa Vijana Wilaya ya Temeke Yona Sengerema (kulia).
Mgombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Temeke kupitia Chama cha Mapinduzi
(CCM) Peter Nyalali (katikati) , akirudisha Fomu katika Ofisi za Chama
hicho kwa Katibu wa Umoja wa Vijana Wilaya ya Temeke Yona Sengerema
kushoto na kulia ni Katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi
(UVCCM) Wilaya ya Temeke Dar es Salaam. (PICHA ZOTE NA NA KHAMISI MUSSA)
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269