Mgombea
Ubunge Jimbo la Bagamoyo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mathew Juma
Salum Yungwe, akionesha fomu ya kugombea nafasi hiyo baada ya
kukabidhiwa na Katibu wa CCM Wilaya ya Bagamoyo, Kombo Kamote wilayani
humo leo mchana.
Katibu
Msaidizi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Bagamoyo, Salum
Mtelela (kulia), akimkabidhi stakabadhi ya malipo ya kuchukua fomu,
Mgombea huyo.
Katibu wa CCM Wilaya ya Bagamoyo, Kombo Kamote (kushoto),
akimkabidhi fomu ya kugombea Ubunge Jimbo la Bagamoyo, Mathew Juma
Salum Yungwe wilayani humo leo mchana. Wa pili kulia ni Mama mzazi wa
mgombea, Mary Yungwe na Meneja wa Kampeni wa mgombea huyo, James
Mbuligwe.
Hapa mgombea huyo Mathew Yungwe, akionesha fomu hiyo baada ya kukabidhiwa.
Makada wa CCM wakimpongeza Mgombea huyo wakati wa kuchukua fomu hiyo.
Mgombea
nafasi hiyo ya Ubungo Jimbo la Bagamoyo, Mathew Yungwe (katikati),
akiwa katika picha ya pamoja na mama yake Mary Yungwe (kulia) na Meneja
wa Kampeni wake, James Mbuligwe.
Hapa
mgombea huyo na mama yake na meneja kampeni wake wakiondoka ofisi ya
CCM Wilaya ya Bagamoyo baada ya kukabidhiwa fomu yake. (Imeandaliwa na mtandao wa www. habari za jamii.com-simu namba 0712-727062)
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269