Makamu
wa Rais Ghalib Mohamed Bilal. (kushoto) akizungumza na wanafunzi wa
Chuo Kikuu cha Arusha mara baada ya ufunguzi wa Maonesho ya 10 ya
Elimu ya Juu ya Sayansi na Teknolojia ya Vyuo Vikuu vya Ndani na Nje
viwanja vya Sabasaba, Dar es Salaam jana. ambapo kilelechake ni Julai
25, mwaka huu (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA
Afisa
tawala mwandamizi wa kampuni ya Uniqne Academy, Gabriel Mungaya,
akizungumza na waandishi wa habari katika viwanja vya Sabasaba wakati wa
Maonesho ya 10 ya Elimu ya Juu ya Sayansi na Teknolojia ya Vyuo Vikuu
vya Ndani na Nje viwanja vya Sabasaba, Dar es Salaam jana. ambapo
kilelechake ni Julai 25, mwaka huu
Makamu wa Rais Ghalib Mohamed Bilal katika Picha ya Pamoja na baadhi ya viongozi
Makamu
wa Rais Ghalib Mohamed Bilal (kushoto) akimsikiliza Katibu Mtendaji
Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania Profesa Yunus Mgaya (wapili kulia)
alilipokuwa akimtambulisha Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Bima la
Taifa, Sam Kamanga (kulia) na wapili kushoto ni Mwenyekiti wa Tume ya
Vyuo Vikuu Tanzania Profesa Awadh Mawenya.
Kaimu
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Bima la Taifa, Sam Kamanga (kulia)
akizungumza na wafanyakazi wa Shilika hilo Dar es Salaam jana
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Bima la Taifa, Sam Kamanga (wa tatu kulia) katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Shilika hilo Dar es Salaam jana, kuanzia kulia ni maofisa wa shilika hilo, Emmanuel Ngao, Albelt Rabiel, kushoto ni Elisante Maleko na Joyce Mswia.
Makamu wa Rais Ghalib Mohamed Bilal akiwapungia mikono alipokuwa akiondoka viwanjani vya Sabasaba Dar es Salaam
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269