Kaimu
Mkurugenzi Idara ya Diaspora kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na
Ushirikiano wa Kimataifa Bi. Rosemary Jairo akiongea na waandishi wa
Habari kuhusu Maandalizi ya Kongamano la Diaspora (Tanzania and SMEs
Partnership Conference 2015) litakalofanyika kuanzia tarehe 13-15 Agosti
2015 Jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya
Habari (MAELEZO), Leo Jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya
waandishi wa Habari wakimsikiliza Kaimu Mkurugenzi Idara ya Diaspora
kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bi. Rosemary
Jairo.
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269