Rais Dkt.
Jakaya Mrisho Kikwete akipokea hundi ya malipo ya Bima ya Maisha(Flexi
Provider) kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Bima la
Taifa(National Insurance Corporation of Tanzania Limited) NIC Bwana Sam
Kamanga ikulu jijini Dar es Salaam julai 21, 2015.
Akimkabidhi
hundi hiyo, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bima Tanzania
Limited (NIC) Bw. Sam Kamanga amesema uwepo wa Mheshimiwa Rais kama
mteja wa NIC imesaidia kukuza uelewa na shughuli za shirika hilo.
“Kitendo
cha Serikali kukatia Bima mali zake na taasisi zake, kumeongeza uwezo wa
kifedha wa shirika na soko la Bima” amesema na kuwataka watu binafsi,
taasisi mbalimbali na mashirika ya kiserikali kukata Bima kwa ajili ya
maendeleo na akiba ya baadaye.
Rais
Kikwete ameitaka NIC kuongeza juhudi katika kuhamasisha na kuelimisha
watanzania umuhimu na manufaa makubwa yanayopatikana kutokana na Bima
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269