Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi pia Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akivalishwa
Skafu na Kijana Chipukizi Pili Hassan Suluhu mara alipowasili katika Uwanja
wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume kwa ndege ya Serikali akitokea
Dodoma leo baada ya kuteuliwa tena na Kamati Kuu ya CCM Taifa kugombea Urais wa Zanzibar kwa kipindi cha pili kupitia
CCM,[Picha na Ikulu.]
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama
Mwanamwema Shein akivalishwa Skafu na kijana chipukizi Pili Hassan Suluhu mara alipowasili katika Uwanja
wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume kwa ndege ya Serikali akitokea Dodoma akiwa na Mumewe Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi pia Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein baada ya kuteuliwa tena na Kamati Kuu ya CCM Taifa kugombea Urais wa Zanzibar kwa kipindi cha pili kupitia
CCM,[Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi pia Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana
na Wazee wa CCM alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani
Karume kwa ndege ya Serikali akitokea Dodoma leo baada ya kuteuliwa tena na
Kamati Kuu ya CCM Taifa kugombea Urais wa Zanzibar kwa kipindi cha pili kupitia
CCM,[Picha na Ikulu.]
Wananchi na wanachama wa CCM mbali
mbali wakimshangilia Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia
Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein waliojitokeza katika Barabara ya Michenzani kwa mapokezi
makubwa wakati akitokea Dodoma leo baada ya kuteuliwa tena na Kamati Kuu ya CCM
Taifa kugombea Urais wa Zanzibar kwa kipindi cha pili kupitia
CCM,[Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi pia Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein
akiwapungia mkono Wananchi na wanachama wa CCM mbali mbali waliojitokeza katika Barabara ya Michenzani kwa mapokezi
makubwa wakati akitokea Dodoma leo baada
ya kuteuliwa tena na Kamati Kuu ya CCM Taifa
kugombea Urais wa Zanzibar kwa kipindi
cha pili kupitia CCM,[Picha na Ikulu.]
Hivi ndivyo walivyokuwa wanachama
na wananchi wapenda amani kwa mapokezi ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi pia Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein katika barabara
ya maeneo ya Michenzani kuelekea Ofisi ya CCM Kisiwandui akitokea Dodoma leo baada
ya kuteuliwa tena na Kamati Kuu ya CCM Taifa
kugombea Urais wa Zanzibar kwa kipindi
cha pili kupitia CCM,[Picha na Ikulu.]
Umati wa Wanachama wa
CCM na Wananchi wapenda amani waliojitokeza kwa mapokezi makubwa ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi pia Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein katika barabara
ya maeneo ya Michenzani kuelekea Ofisi ya Kuu ya CCM Kisiwandui akitokea Dodoma leo baada ya kuteuliwa tena na
Kamati Kuu ya CCM Taifa kugombea Urais wa Zanzibar kwa kipindi cha pili kupitia
CCM,[Picha na Ikulu.]
Umati Mkubwa wa
Wanachama wa CCM na Wananchi wapenda amani waliojitokeza kwa mapokezi makubwa ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi pia Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein katika barabara
ya maeneo ya Michenzani kuelekea Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui akitokea Dodoma leo baada ya kuteuliwa tena na
Kamati Kuu ya CCM Taifa kugombea Urais wa Zanzibar kwa kipindi cha pili kupitia
CCM,[Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi pia Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein na
Mkewe Mama Mwanamwema Shein wakisalimiana na Wazee wa CCM walipofika Ofisi Kuu
ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja leo wakitokea Dodoma katika Mkutano Mkuu Maalum 2015
uliomteuwa kugembea tena nafasi ya Urais wa Zanzibar kutia CCM, [Picha na
Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed
Shein akiwa na Viongozi na wazee wa CCM wakimuombea dua marehemu Mzee Abeid
karume katikakaburi lake huko Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja leo akitokea
Dodoma katika Mkutano Mkuu Maalum 2015 uliomteuwa kugembea tena nafasi ya Urais
wa Zanzibar kutia CCM, [Picha na Ikulu.]
/Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi pia Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza
na wananchi na wanachama wa CCM katika viwanja vya CCM Kisiwandui Mjini Unguja
leo akitokea Dodoma katika Mkutano Mkuu Maalum 2015 uliomteuwa kugembea tena
nafasi ya Urais wa Zanzibar kutia CCM, [Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi pia Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza
na wananchi na wanachama wa CCM katika viwanja vya CCM Kisiwandui Mjini Unguja
leo akitokea Dodoma katika Mkutano Mkuu Maalum 2015 uliomteuwa kugembea tena
nafasi ya Urais wa Zanzibar kutia CCM, [Picha na Ikulu.]
Your Ad Spot
Jul 13, 2015
Home
Unlabelled
DK. SHEIN APOKELEWA KWA SHANGWE MJINI ZANZIBAR
DK. SHEIN APOKELEWA KWA SHANGWE MJINI ZANZIBAR
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269