Mgombea
wa Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi John Pombe Magufulu
pamoja na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wakiwasalimia
wananchi waliojitokeza kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma
Dk. Magufuli akiwasalimia wananchi waliojitokeza kwa wingi kuja kumsalimia na kumuona mgombea huyo wa CCM.
Dk. Magufuli akisalimiana na wananchi
Mgombea mwenza wa Dk. Magufuli, Samia Suluhu Hassan akiwasalimu wananchi wa Dodoma kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma
Dk. John Magufuli akizungumza na wakazi wa Dodoma ikiwa
sehemu yake ya kwanza kujitambulisha kwa wananchi baada ya
kutangazwa kuwa mgombea rasmi wa CCM.
Your Ad Spot
Jul 13, 2015
Home
Unlabelled
CCM YAANZA KUMTANGAZA MGOMBEA WAKE WA URAIS DK. JOHN MAGUFULI
CCM YAANZA KUMTANGAZA MGOMBEA WAKE WA URAIS DK. JOHN MAGUFULI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269