Breaking News

Your Ad Spot

Mar 11, 2015

AJALI YA BASI MAFINGA, MKOANI IRINGA, YAUA ZAIDI YA 50 PAPO HAPO



Name:  IMG-20150311-WA0022.jpg
Views: 0
Size:  63.4 KB
 Ajali imetokea changalawe Mafinga basi la Majinja lilikuwa linatokea Mbeya kwenda Dar limeangukiwa na kontena muda huu na watu wengi wanakadiriwa kufariki na hali ni mbaya sana
Watu wapatao 50 wanahofiwa kufa papo hapo baada ya basi hilo la Majinja Express kugongana na lori na kuangukiwa na kontena



Endelea kutembelea hapa kwa habari zaidi

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages