Breaking News

Your Ad Spot

Jul 31, 2014

RAIS KIKWETE ALIHUTUBIA TAIFA, ASISITIZA KINACHOJADILIWA BUNGENI NI RASIMU YA TUME YA JAJI WARIOBA NA SI VINGINEVYO


Rais Jakaya Kikwete amelihutubia Taifa  ambapo alizungumzia mambo mbali mbali, na kuwataka UKAWA kurudi Bugeni
  • Awataka kutumia vyema fursa ya majadiliano
  • Asisitiza hakuingilia mchakato wa Katiba mpya
  • Asema mgogoro uliopo sasa hauna maana kuendelea

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages