Wanasema
Duniani hakuna siri hiyo ni kufuatia picha za kimahaba kuzagaa kama
njugu mitandaoni zinazomuonyesha mbunge wa Mbinga Magharibi kupitia
tiketi ya CCM, Kapteni John Damiano Komba akiwa kwenye mapozi ya
kimahaba na wanawake wawili tofauti, huku mwenyewe akiruka kimanga na kudai kuwa picha hizo sio za kwake bali zimetengenezwa na maadui wake wa kisiasa.
Huku akiwataka wale wote wanaomuamini kama kiongozi shupavu
wa Taifa, wasikatishwe tamaa na wajinga wachache wenye mawazo ya kutumwa
ambao wanadhani wanaweza kummaliza kisiasa kwa kumtengenezea picha
chafu kama hizi..
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269