Breaking News

Your Ad Spot

Apr 23, 2014

PINDA AREJEA DODOMA KUENDELEA NA BUNGE MAALUM LA KATIBA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akisalimiana na viongozi wa mkoa   baada ya kuwasili kwenye  uwanja wa ndege wa Dodoma   kwa ajili ya kikao cha Bunge Maalum la Katiba akitoka Dar es Salaam, Aprili 23, 2014. Kulia ni Mkuu wa Mkoa huo, Dk. Rehema Nchimba (Picha na Ofisi  ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages