Breaking News

Your Ad Spot

Nov 27, 2012

MWILI WA MSANII WA BONGO MOVIE JOHN MAGANGA WAZIKWA LEO

 Wasanii wa Bongo Movie wakibeba jeneza lenye mwili wa msanii mwenzao, John Maganga, wakati wa kuaga mwili wa msanii huyo, Mwananyamala, Dar es Salaam. Maganga amefariki dunia Jumamosi hii, katika hospitali ya Muhimbili, Dar es Salaam, baada ya kuugua ghafla. PICHA ZAIDI BOFYA HAPA KWENYE UKURASA WETU WA SPOTI

1 comment:

  1. You actually make it seem really easy together with your presentation however I
    in finding this matter to be really one thing which I feel I'd never understand. It sort of feels too complex and extremely broad for me. I am taking a look ahead for your subsequent submit, I'll
    try to get the hang of it!
    My page :: www.yourtobaccosstore.com

    ReplyDelete

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages