Breaking News

Your Ad Spot

Oct 29, 2010

MAMA MWINYI AMNADI MWANAWE JIMBO

Mke wa Rais Mstaafu, Ali Hassani Mwinyi, Mama Siti, akimuombea kura kwa wananchi, mtoto wake, Hussein Mwinyi jimbo la Kwahani, Zanzibar,leo,  katika mkutano wa kuwatambulisha wagombea wa jimbo hilo kwa nafasi mbalimbali kwa tiketi ya CCM katika uchaguzi utakaofanyika keshokutwa, Jumapili.

KINA mama wa CCM jimbo la Kwahani, Zanzibar wakishangilia kwa raha zao, wakati Mama Siti Mwinyi akizungumza katika mkutano huo.

HUSENI Mwinyi (Kulia) na  akinadiwa na  Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Mjini, Borafya Silima Juma.

2 comments:

  1. improve page rank seo advice backlink service backlinks check

    ReplyDelete


  2. Also νisit my ρаge :: angels tantra london
    Feel free to visit my blog : sensual massage london

    ReplyDelete

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages