Breaking News

Your Ad Spot

Dec 27, 2009

MATUKIO KTK PHOTOS

Mpigapicha wa gazeti la mwananchi, Emmanuel Herman akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa mkewe, Mary Bernad aliyefariki tarehe 24 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa maradhi ya figo na kuzikwa katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar Jumamosi hii.


Mpigapicha wa gazeti la Habari Leo, Mroki Mroki ni miongoni mwa ndugu, jamaa na marafiki waliokuwa wakimfariji  mpigapicha wa Mwananchi, Emmanuel Herman wakati wa mazishi ya mke wake Mary Bernad aliyefariki kwa maradhi ya figo siku ya tarehe 24 na mazishi yake yalifanyika katika makaburi ya Kinondoni, jumamosi


Meneja Masoko wa Kampuni ya Zain Tanzania Costantine Magavilla (kushoto) akiongea na mshindi wa gari aina ya Toyota Hilux lenye thamani ya zaidi ya sh.milioni 40 Wilfred Maleko mkazi wa Dar es Salaam baada ya kuendesha promosheni ya 'Zawadi' inayoendeshwa na kampuni hiyo kulia ni Msimamizi kutoka bodi ya michezo ya kubahatsha Bw.Bakari Maggid.Promosheni hiyo ilifanyika Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.Mwanamuzi wa Hip hop Mr. 11 akiwapagaisha mashabiki wake wakati wa uzinduzi wa albam ya kumi ya VETO katika ukumbi wa Diamond jubilee wakati wa mkesha wa Sikukuu ya Krismasi.


Mpigapicha Mkuu wa gazeti la Jambo leo Richard Mwaikenda akifurahia zawadi alizotwaa baada ya kuibuka mpigapicha bora katika shindano la Baraza la Habari Tanzania (MCT) mjini Dar es Salaam.

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages